Wednesday, January 13, 2016
BAADA YA RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU KASIMU MAJALIWA KUMJULIA HALI FREDRICK SUMAYE SASA NI ZAMU YA EDWARD LOWASSA.
Waziri mkuu mstaafu wa serikali ya awamu ya tatu Fredrick Sumaye aliyelazwa kwenye hospitali ya Muhimbili ameendelea kupokea ugeni wa viongozi wa kitaifa wanaofika kumjulia hali baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli na baadae na Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa kumjulia hali waziri huyo sasa EDWARD LOWASSA amemtembelea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment