BOMOABOMOA YAENDELEA JIJINI DAR ES SALAAM LICHA YA WAKAZI WA KINONDONI KUKIMBILIA KORTINI
Bomoabomoa imeanza Mtaa wa Sun,Kinondoni sehemu kubwa ya wananchi wamehama na wengine kuendelea kutoa mali zao.Ikumbukwe kuwa Jana Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi ilitarajia Leo Muda wa saa tano kutoa uamuzi wake juu ya Ombi la wakazi hao kama kuna haja ya kufungua kesi na hali kuendelea ya kutobomoa au la.
No comments:
Post a Comment