Wananchi wa
bonde la Mkwajuni Kinondoni
wamefunga barabara ya
Kawawa.
Wanachoma matairi na
kujaza magogo
barabarani.
Tahadhari kwa watumiaji
wa barabara hiyo
kama unatokea Magomeni ama
anakwenda magomeni kutokea
Kinondoni asitumie barabara
ya Kawawa (Kwa
wenye magari)ili kuepusha
usumbufu uliopo kwa
sasa.
|
No comments:
Post a Comment