Monday, January 18, 2016

HABARI ZA HIVI PUNDE MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA AFARIKI DUNIA AKIWA ANAOGELEA ASUBUHI

Marehemu  katika  Maisha  yake  aliwahi  kuwa v Katibu  Mkuu  wa  CLUB  YA  SIMBA alikopewa  jina  la  YELSTIN   alikimbizwa  hospitali  hospital   Agakhan lakini  wakaambiwa  alikuwa  alishafariki na  mazishi  yanatarajiwa kufanyika  leo.

No comments:

Post a Comment