Wednesday, January 6, 2016

HAKUNA KUKAA KWENYE KIYOYOZI KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA TANO MKUU WA WILAYA AHIRIKI SHUGHULI YA USAFI






Mkuu  wa  wilaya  ya  Ngara  Mkoani Kagera   Honoratha  Chitanda  akishiriki   kupalilia magugu  na  Afisa  Afya wa  wilaya  Odhiambo  Zacharia  katika   kituo  cha  Afya  Lukole baada  ya  jamii  kuomba  magereza  kufanya  kazi  hiyo.




No comments:

Post a Comment