Tuesday, January 12, 2016
NIMEKUWEKEA BAADHI TU YA PICHA ZA MBUNGE WA CHADEMA AKIWA NCHINI CHINI KWA AJILI YA KUEMEA
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki CHADEMA JOSHUA NASSARI akiwa nchini CHINA kwa ajili ya kununua vitanda vya kulaza wagonjwa hospitalini ikiwa ni sehemu ya kutimiza wajibu wake jimboni kwake na kwa wananchi waliomchagua.
Siku za hivi karibuni Mbunge huyo alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa hatatumia gari la kifahari na badala yake pesa hizo atazielekeza kwenye huduma za kijamii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment