Tuesday, January 5, 2016

UTABIRI WAKO WA MATOKEO KATI YA AZAM VS YANGA LEO NI UPI?JERY MURRO ASEMA WATASHUSHA KIKOSI KIZIMA.




 Yanga  kupitia  kwa  msemaji  wao  Jery  Murro  amesema  watashusha  silaha  zao  zote  na  kusema  kuwa  hawakwenda  Zanzibar  kufanya  majaribio  na  wanaofanya  majaribio  ni  wamchangani.




Je  wewe  kama  mfuatiliaji  wa   mpira  wa  Tanzania  maoni  yako  na  utabiri  wako  wa  mechi  ya  leo saa  mbili  na  Robo  usiku.

No comments:

Post a Comment