Sunday, July 6, 2014

Wanafunzi wa shule za sekondari za sekondari wilaya ya Kyerwa,Missenyi na Ngara wapokea bendera ya Jumuia ya Africa Mashariki.

 Wanafunzi   wa sekondari  wa shule ya wasichana  Baramba iliyopo wilayani  Ngara wakipandisha bendera ya Jumuia ya  Africa  Mashariki.
Hao wa ni wanafunzi  ni wa shule  ya sekondari ya Kaisho iliyopo  wilayani  Kyerwa ikumbukwe shule nne zimeteuliwa kutoa elimu ya hamasa juu
Wanafunzi wa shule ya sekondari  ya  Bugene wakipokeaa   bendera ya jumuia ya Africa Mashariki



Wanafunzi   wa Bunazi Sekondari iliyopo wilayani Missenyi wakiwa katika picha ya pamoja wakipokea  bendera kutoka kwenye jumuia ya Africa mashariki

No comments:

Post a Comment