Saturday, January 2, 2016

KALVARIO NA MWANZO WA KILA MWAKA MPYA KWA WAUMINI KUFANYA IBADA PALE.BOFYA KUONA PICHA



Hii  ni  sehemu  ya  mlima  wa  Kayungu  B  Omukinengo  uliopo  kijiji  cha  Kayungu  Kata  ya  Nyakabanga  wilaya  ya  Karagwe mkoa  wa  Kagera    ulisimikwa  msalaba  desemba 31 mwaka 1999 wakati  huo  kulikuwepo  uvumi  kuwa  mwaka 2000  ungelikuwa  mwisho  wa  Dunia   sasa  mlima  huo  umekuwa  kituo  cha  HIJA  jimbo  Katoliki   la  Kayanga  na  sasa  kinaitwa   KAYUNGU  KALVARIO  na  HIJA  hufanyika  Septemba 14  kila  mwaka  ila  kila  Desemba  31  Waumini  huanzia  Ibada  hapo  ya  mkesha  wa  mwaka  mpya.

No comments:

Post a Comment