Wednesday, December 16, 2015

ALIYEKUWA WA MEYA WA JIJI LA DAR DK DIDAS MASABURI AKUBALI YAISHE AUTAMBUA USHINDI WA SAIDI KUBENEA.BOFYA HAPA




Aliyekuwa  Meya   wa  jiji  la  Dar  es  salaam  Dk  Didas    Masaburi  amesalimu  amri  na  kukubali  yaishe  baada  ya   kuamua  kuifuta  kesi  ya  uchaguzi  ya  kupinga  ushindi  wa  mbunge  wa  ubungo  SAID  KUBENEA.










Masaburi  ambaye  alikuwa  mgombea  ubunge   jimbo  la  ubungo  kupitia  CCM  alifungua  kesi  Mahakama  kuu  DAR  ES  SALAAM kupinga   ushindi  wa  Saidi  Kubenea  wa  CHADEMA  lakini  jana  ameifuta  kesi  hiyo   kupitia  kwa  wakili  wake  Clement   Kihoko kwa  madai  hana nia tena  ya  kuendelea  nayo.



No comments:

Post a Comment