Thursday, December 17, 2015

ANGALIA KASI YA MBUNGE HUYU INAENDANA NA RAIS MAGUFULI ATUMIA MTUMBWI KUWATEMBELEA WANANCHI.


Mbunge  wa  Jimbo   la  Karagwe  Innocent  Luga  Bashungwa  ameanza  kuwatembelea  kusikiliza  kero  zinazowakabili  na  kuona  ni  jinsi   gani  atakavyozikabili  pamoja  na  wao.

Jana  Desemba 16  alitembelea  kata  za  Bweranyange,Nyabiyonza  na  Kamagambo  kwenye  mwambao  mwa  ziwa  Lwakajuju  linalounganisha  Tanzania  na  Rwanda  na  kuwasikiliza  wananchi  wanaoishi  huko.


No comments:

Post a Comment