Wednesday, December 16, 2015

BREAKNGINEWS WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA YA GHAFLA MUHIMBILI MASHINE ZA CT SCAN NA MRI AKUTA MBOVU.BOFY HAPA



Waziri  wa  Afya  Maendeleo  ya  Jamii,Jinsia ,watoto  na  Wwazee UMMY  MWALIMU amefanya  ziara  ya  kushtukiza  katika  hospitali  ya  Taifa   Muhimbili  na  kukuta   mashine  za  CT Scan  na  MRI   ni  mbovu.


Mkurugenzi  wa  hospitali  ya  Muhimbili  Lawrence  Museru  amesema  kuwa  mashine  hizo  ziliharibika  desemba  13  na  huduma  zilisimama  tangu  jana  desemba  14  mwaka  huu.

Katika  ziara  hiyo  Waziri  amekutana  na  mzee  wa  miaka  90  ambaye  alikuwa  amesubilia  huduma  ya  mashine  hizo  tangu  jana.

No comments:

Post a Comment