Operesheni Kimbunga yanasa majambazi 32,mabomu sita, bunduki 22 na risasi 265
Mabomu sita risasi 265 zilizokamatwa
Mitambo ya kutengenezea magabole yalikamatwa katika Mkoa wa Kagera
Mkuu Msaidizi wa Operesheni Kimbunga, Simon Sirro akiwaonesha waandishi
wa habari hawako pichani sare za Jeshi zilizokamatwa katika Operesheni
hiyo.
Hapa Kamanda Sirro akiwaonesha waandishi namna mitambo hiyo inavyotumika kutengezea bunduki aina za magobole ambazo zinauwezo wa kuuwa wanyama hata binadamu.
No comments:
Post a Comment