Saturday, September 14, 2013



FADECO COMMUNITY RADIO
Plot 281/283 Kagera Street
P. O. Box 223
Karagwe- Kagera Region
http://www.fadeco.org/radio
Tel: 0754 605682
 



 
 


                                                                                                                                               

                                                                                                                                                Date; 4.9.2013


KESUDE
 
YAH:  MWALIKO KUHUDHURIA KUTANO WA WADAU WANAOSHUGULIKA NA MASUALA YA WATU WENYE ULEMAVU, KAYANGA, KARAGWE TAREHE 16 HADI 17 SEPT 2013

Tafadhali  rejea kichwa cha barua hapo juu.

IDARA YA USTAWI WA JAMII, KARAGWE
 
Wadau  wote wanaotoa huduma kwa watu wenye ulemavu wilayani Karagwe,  kwa ushirikiano na Idara ya Ustawi wa Jamii (HWK),wanayofuraha kukualika katika mkutano wa siku 2 kuanzia  tarehe 16-17 Sept. 2013.

Madhumuni ya mkutano huu  ni)
DIAKONIA
KARAGWE DIOCESE

 
 
a)     kuweka mikakati ya pamoja ya  kuwahudumia watu wenye ulemavu mkoani Kagera,
b)    kufahamiana hasa kujua mchango wa kila mdau
c)    
WOMEDA
 
kuweka mikakati ya pamoja ya kuadhimisha siku ya watu wenye ulemavu ambayo huadhimishwa kila tarehe 3.12 ya kila mwaka.
d)   
KVTC
 
Kubainisha njia za kudumu na endelevu za kuwasaidia watu wenye ulemavu

Kuhudhuria kwako ni muhimu kwa  maendeleo ya watu wenye ulemavu.
Tafadhali upokeapo mwaliko huu  toa taarifa ya uthibitisho wa kuhudhuria kwa ajili ya maandalizi.  Kamati ya mandalizi ya mkutano huu imejitolea kugharimia chakula, vinywaji na  ukumbi wa mkutano. Wawezeshaji watatoka BBC Media Action pamoja na CCBRT. Kila mshiriki ajigharimie nauli na malazi isipokuwa pale itakapo lazimu.
CHAWAKA
 
                          
 
Juhudi Felix (Katibu Msaidizi/ Kamati Mandalizi)        0756 601054
 

No comments:

Post a Comment