Monday, January 4, 2016

UPADATE YA BREAKINGNEWS BASI LA LUWINZO LAPATA AJALI WATU WAWILI WAFARIKI NA 21 WAJERUHIWA.BOFYA HAPA

Watu  wawili  wamefariki  Dunia   na  wengine  21 wamejeruhiwa  baada basi la  LUWINZO lililokuwa linatokea NJOMBE kwenda  DAR  ES  SALAAM  kuligonga lori.


Hapa  zaidi tutaendelea  kukultea  zaidi.
Waliofariki  katika  ajali  hiyo  wameongezeka  na  kufikia  watu  wanne  baada  ya  majeruhi kufariki.

No comments:

Post a Comment