Monday, January 4, 2016

WANANCHI WALIA KWA KILE SERIKALI ILIYO MADARAKANI ILICHOWATENDEA.BOFYA HAPA KUJISOMEA



Wananchi  wa vijiji  vya  Ikengwa,Kinyansi, na Kisondoko wilayani  Kondoa mkoani  DODOMA wamelia  kwa  furaha kwa  kitendo  cha  serikali  iliyopo  madarakani  baada  ya  kutatua  mgogoro wa  eneo  ambalo  walikuwa  wamelingombania  muda  mrefu  na  watu  wa  hifadhi  muda mrefu  kupatiwa  ufumbuzi






1 comment:

  1. hapo ni KAZI TUU kama mhe. anavyo sema tutumie kauli ya mzee ili tukokomeze iyo migogoro yote ata kwenye wilaya nyinginne

    ReplyDelete