Monday, January 11, 2016

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AMEMTEMBELEA NA KUMJULIA HALI WAZIRI MSTAAFU WA SERIKALI YA AWAMU YA TATU FREDRICK SUMAYE ALIYELAZWA MUHIMBILI





Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania  Dk   John   Pombe  Magufuli amemjulia  Waziri  mkuu  Mstaafu  wa  serikali  ya  awamu  ya  Tatu  Fredrick   Sumaye  ambaye  anapata  matibabu  hospitali  ya  Taifa  Muhimbili  aliko  lazwa.

Katika  picha  yupo  Mama  Esther    Sumaye  kweli  amedhihirisha  ukomavu  wa  kisiasa  kuongea  na  kuwajulia  hali  wapinzani  wake  kisiasa  hiyo  ndiyo  Tanzania  tunayoitaka.

No comments:

Post a Comment