Tuesday, January 19, 2016

UNAMBIWA ISHU YA ZANZIBAR NI MWIBA KWA CCM,LOWASSA NA VIONGOZI WAKUU WA UKAWA WATETA NA MAALIM SEIF




Waziri  mkuu  mstaafu  wa  serikali  ya  awamu  ya  NNE  EDWARD  LOWASSA  amekutana  na  kuongea  na  Katibu  mkuu  wa  CUF  MAALIM  SEIF  juu  ya  mustakabali wa  mkwamo  wa  kisiasa  ZANZIBAR  pamoja  na  LOWASSA  pia  viongozi  waandamizi  wa UKAWA akiwemo  James    Mbatia  nao  walikuwa  sehemu  ya  mazungumzo





No comments:

Post a Comment