Kwa mawasiliano zaidi tumia felixjuhud@yahoo.com au +255 (0) 756 601 054
Saturday, March 24, 2012
KUWA NA WIVU WA KUTAMANI KUJIFUNZA
Mara nyingi watu tunakuwa na wivu wa kuoneana wivu usiokuwa na maana katika maisha jambo ambalo huwa mara kadhaa uleta uhasama na mifarakano lakini ukiwa na wivu wa kutamani kujifunza huo ujenga na kuleta maendeleo.
No comments:
Post a Comment