Thursday, December 31, 2015

BIDHAA ZATEKETEZWA NA TDA KANDA YA KASKAZINI BAADA YA KUGUNDULIKA HAZINA MADHARA KWA BINADAMU.

Mamlaka  ya  chakula  na  dawa  TFDA  kanda  ya  Kaskazini imewteketeza    vipodozi   vyenye  thamani  ya shilingi  millioni  34katika  mpaka  wa  TANZANIA  na  KENYA vipodozi  hivyo  vyenye  viambata  vya sumu vilivyotengenezwa  nchini  DRC  Congo

No comments:

Post a Comment