Msafara wa waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo umepata ajali katika kijiji cha Kigorogoro kata ya Kibare wilayani Kyerwa Mkoani Kagera msafara huo ulikuwa ukitokea mpakani mwa Tanzania na Uganda upande MURONGO ila hakuna majeruhi aliyeripotiwa mpaka sasa.



No comments:
Post a Comment