Monday, December 28, 2015
YANGA YAMTUPIA VIRAGO KIUNGO WAO WA KIMATAIFA HARUNA NIYONZIMA FABRIGAS WA BONGO.
YANGA imevunja mkataba na mchezaji wake wa kimataifa kutoka nchini RWANDA Haruna Niyonzima na kumtaka kiungo huyo wa RWANDA kuilipa klabu hiyo dola 75000.Hatajiunga na klabu yoyote ile mpaka alipe fedha hizo au klabu yake mpya implipie.
Sababu za kuvunja mkata huo zimeelezwa na uongozi kuwa ameshindwa kuripoti kwa wakati kwenye mazoezi ya timu hiyo na kutoshiriki michezo kadhaa za timu ya YANGA za ligi kuu wamesema walimlipa Nusu Mshahara na kutakiwa kujieleza lakini alishindwa kufanya hivyo na fedha hizo ni gharama za kumuongezea mkataba ambao ulikuwa umalizike 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment