Matokeo
NAVOI MOLLEL ACT Wazalendo kura 342 sawa na 0.3%
PHILEMON OLAIS MOLLEL CCM kura 35,907 sawa na 34.4%
GODLESS JONATHAN LEMA CHADEMA kura 68,848 sawa na 65.9%
ZUBERI MWINYI HAMIS CUF kura 106 sawa na 0.1%
MKAMA RASHID JARALIA kura 43 sawa na 0.04%
Msimamii wa uchaguzi jimbo la Arusha Mjini Juma Idd amemtakangaza rasm Lema kuwa mshindi wa kiti cha ubunge jimbo hilo.

No comments:
Post a Comment