Tuesday, December 29, 2015

MAWAZIRI HAWAKAI OFISINI WANAPISHANA KWENYE SAFARI DR KIGWANGALA AIBUKIA SOKO KUU BUKOBA BAADA YA MUHONGO KUTOKA JANA KAGERA.



Naibu  wa  Afya  Dr   Hamis   Kigwangala  ametembelea  soko  kuu  la  Bukoba   kukagua  maeneo  mbalimbali  kujionea  hali  ya  usafi  na  kufika  eneo  linalotumiwa  na  mama  lishe  ambao   wameanza  rasmi  kazi  yao  juzi  ya  kuuza  vyakula  baada  ya  kufungiwa  kwa  kipindi  cha  miezi  miwili  kutokana  na  tishio  la  ugonjwa  wa  Kipindupindu  ambao  ulia  watu  wawili  mkoani  Kagera.

Agizo  la  kufunga  shughuli  zao  hizo  lilitolewa  na  Mkuu  wa  Mkoa  wa  Kagera  John   Mongella.

1 comment:

  1. Afadhari amewasili bukoba akague usafi kama kweli tuendeleee kum ombea apate Baraka na nguvu kutoka kwa mwenyezi MUNGU ili tuweze kupata matunda meema TANZANIA BILA KIPINDUPINDU INAWEZEKANA

    ReplyDelete