MBUNGE WA CHADEMA AGUSWA NA KERO ZA AKINA MAMA WAJASRIAMALI AWATEMBELEA USIKU.
Mbunge wa jimbo la Tarime mjini Mkoani Mara Ester Matiko CHADEMA ameanza kutimiza moja ya ahadi zake alizotoa baada ya jana jioni kuwatembelea akina mama wajasriamali wanaofanya shughuli zao majira kuanzia saa moja usiku kwenye mji wa Tarime amesema anafanya hivyo kujua changamoto walizonazo na jinsi gani atakavyozitatua.
No comments:
Post a Comment