Tuesday, December 15, 2015

MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA APANDISHWA KIZIMBANI ASOMWA SHITAKA.BOFYA HAPA



 Mbunge  wa  Ubungo  Said  Kubenea  Leo  amepandishwa  kizimbani  katika  mahakama  ya  Hakimu  Mkazi  Kisutu  jijini  Dar  es  Salaam  na  kusomewa  shitaka   lugha  chafu  dhid  ya  mkuu  wa  wilaya  ya  Kinondoni  Paulo  Makonda.Kesi  imehairishwa  mpaka  disemba  29   mwaka  huu.







 Kubenea  alikamatwa   na  polisi  eneo  la  viwanda   EPZA Mabibo kwa  Amri  ya  mkuu  wa  wilaya  ya  Kinondoni  Paulo  Makonda







Tukio  hilo  lilitokea   kukiwa  na   mgomo  wa  wafanyakazi  zaidi  ya  1800  wa  kiwanda   cha  nguo  cha  TOOKU ambao  walimpigia  mbunge  wao  aende  kutatua mgogoro  huo.

No comments:

Post a Comment