Waliojukwaani
hao ni Christina
Shusho ,Sarah K kutoka Kenya ,Solomon
Mukubwa toka DRC Kongo.
Waziri
wa Habari ,Utamaduni,Wasanii na
Michezo Nape Nauye
amemwakilisha Makamu wa
Rais Samia Suluhu
Hassani katika tamasha
la Krismansi linalofanyika Ukumbi
wa Diamond Jubilee.

No comments:
Post a Comment