Nchi yetu ilifika pagumu wezi walionekana wajanja na waliostaafu wakiwa maskini walionekana wajinga ,muombeeni Rais DK John Pombe Magufuli atumbue majipu ili Watanzania wafaidi matunda ya nchi yao.
Kauli hiyo ya Waziri
wa Habari ,Utamaduni,Wasanii na
Michezo Nape Nnauye ameitoa katika uzinduzi wa tamasha
la Krismansi linalofanyika Ukumbi
wa Diamond Jubilee.
akimemwakilisha Makamu wa
Rais Samia Suluhu
Hassani.

No comments:
Post a Comment