Saturday, January 2, 2016

VIJANA WAJITOLEA DAMU ILI KUOKOA UHAI WA WANAOHITAJI DAMU WILAYANI RUFIJI.

Rehema  Mbetenyai mmoja  wa  vijana  akitolewa damu  na  mhudumu
Vijana wilayani  RUFIJI    wamejitolea  damu  kwa  hiari  ili  kupunguza  tatizo  la  upatikanaji   wa  damu  kwenye  hospitali  za  wilayani  humo.
Zoezi  hilo  limefanyika   katika  kituo  cha    afya  Kibiti   likihusisha  makundi   mbalimbali  ya  vijana   baada  ya  kubaini  kuwepo  kwa  tatizo  sugu   la  upatikanaji   damu  kwa  hitaji.

No comments:

Post a Comment