Saturday, January 2, 2016

WATU SITA WADAIWA KUJERUHIWA WAKATI WAKIGOMBANIA NYAMA YA KIBOKO ALIYEUWAWA MTAANI.BOFYA HAPA KUTIZAMA PICHA








Watu  zaidi   ya  sita   wanadaiwa   kujeruhiwa  wakati  wakigombania    nyama  ya  Kiboko   aliyeuwawa   na  wananchi   baada  ya  kuingia  mtaa  wa  BOMANI   mjini Mugumu  wiliyani  humo.
Mganga  wa  zamu wa  hospitali  teule  ya  wilaya  ya  Serengeti  Joseph   Ogora amethibitisha   kumpokea    mmoja  wa majeruhi  hao   huku  afisa mmoja wa  maafisa  wanyamapori   Cuthbert   Boma   akidai  mnyama  huyo   anadaiwa  kutoka   ndani  ya  hifadhi ya  Serengeti.

No comments:

Post a Comment