Penati ya 5.
●● Munishi anaenda kupiga. . Anapiga penati ya mwisho GOOOOOOOAAAAL.
●● Brian Bwete anaenda kupiga akipata mpira umeisha na URA watatinga fainali. . Anapiga GOOOOOOOOOAAAAAAL
FT.
Yanga 3 - URA 4.
Fainali ni URA vs Mtibwa Sugar.
Poleni wananchi, nakutakia usiku mwema.
No comments:
Post a Comment