Wednesday, December 23, 2015

KIKOSI KAZI CHA BARAZA LA MAWAZIRI WA SERIKALI AWAMU YA TANO CHAKAMILIKA RASMI HIKI HAPA



 
Uteuzi  wa  Mawaziri  wa  kujaza  nafasi  zilizokuwa  zimekosa  mawaziri.

1-Profesa  Jumanne  Maghembe  ameteuliwa  kuwa  waziri  wa  Maliasili  na  Utalii.

2-Dkt  Philip Mpango  ameteuliwa  kuwa  waziri  wa  Fedha   na  Mipango (Ni baada  ya  kumteua  kuwa  mbunge)

3-Mhandisi  Gerson  Lwenge  Ameteuliwa  kuwa  waziri  wa  Maji  na  umwagiliaji  

4.Dkt  Joyce  Ndalichako   Ameuteuliwa  kuwa  waziri  wa  Elimu ,Sayansi  Teknolojia  na  Ufundi (Ni  baada  ya  Kumteua kuwa  mbunge)

5-Hamad  Masauni  Ameteuliwa  kuwa Naibu   waziri  wa  Mambo  ya  Ndani ya  Nchi.

6.Profesa    Makame Mbarawa   Amehamishwa kutoka  wizara  ya  Maji  na  umwagiliaji  na  kwenda  wizara  ya   ujenzi ,uchukuzi  na  mawasiliano.





No comments:

Post a Comment