Mama mmoja ambaye jina lake halikutambuliwa mara moja katika kijiji cha Nyabwegira Kata ya Ndama wilayani Karagwe Mkoani Kagera amekutwa na kamera ya Mtandao huu akiwa amebadili matumizi ya Chandarua zinazotolewa na serikali kwa ajili ya kujikinga na mbu waenezao ugonjwa wa malaria badala yake anaitumia kusombea maharage kutoka shambani.
Afisa Mtendaji wa Kata hiyo David Itegereze alipomhoji alisema alikuwa hajui kama ni kosa na kusema anazi nyingi za ziada.
No comments:
Post a Comment