Kwa mawasiliano zaidi tumia felixjuhud@yahoo.com au +255 (0) 756 601 054
Sunday, January 3, 2016
DAWA YA MNYAUKO WA MIGOMBA YAPATIWA UFUMBUZI HAKUNA TATIZO TENA TEMBELEA HAPA KUJUA
Sehemu ya Migomba ambayo imeanza kuzalishwa katika kituo cha Nyakasimbi Maarifa Center ambao ni mradi wa kuzalisha migomba kwa njia ya Kisayansi na migomba hii haishambuliwi na ugonjwa wa Mnyauko wa Migomba ambao ni Tishio mkoani Kagera
Wapendwa ugonjwa wa mnyauko hauzuiliki ivyo, mnyauko ni ugonjwa wa udongo, ambapo migomba huupata kupitia mizizi pia unaweza enezwa kwa upepo from one to another , pamoja na hayo mimi ni scientist special in plants and animals & natural resources nipo nafanya utafiti kutafuta dawa ya mnyauko, ninapima sample zangu kwenye maabara za TAFORI tawi la tanga RUSHOTO hivyo kama ni miche mizuri ya migomba wauzie wananchi ila kama kama ipo prevented from mnyauko tueleze ni kivipi haizuiliki na mnyauko huo,
Wapendwa ugonjwa wa mnyauko hauzuiliki ivyo, mnyauko ni ugonjwa wa udongo, ambapo migomba huupata kupitia mizizi pia unaweza enezwa kwa upepo from one to another , pamoja na hayo mimi ni scientist special in plants and animals & natural resources nipo nafanya utafiti kutafuta dawa ya mnyauko, ninapima sample zangu kwenye maabara za TAFORI tawi la tanga RUSHOTO hivyo kama ni miche mizuri ya migomba wauzie wananchi ila kama kama ipo prevented from mnyauko tueleze ni kivipi haizuiliki na mnyauko huo,
ReplyDelete