Thursday, January 14, 2016

HANDENI TANGA WAJIFUNGIA NDANI KWENYE VIKAO VYA USHAURI KUJIPANGA KWA MAENDELEO.






Wajumbe  wa  kamati  ya  ushauri (DCC) ya  wilaya  ya  HANDEN  MKOANI  TANGA wakiwa  kwenye  kikao  cha  kujadili  changamoto  na  mafanikio  ya  wilaya  hiyo  pia  kujipanga  kwa  mwanzo  mwingine  wa  kuwahudumia  wananchi  kikao  hicho  kilikuwa  chini  ya  uenyekiti  wa  mkuu  wa  wilaya  Husna  Msangi

No comments:

Post a Comment