Tuesday, March 20, 2012

WANA SIFA STAHILI?

Wanaharakati Waliochaguliwa kutuwakilisha

Ndugu watanzania,

Hivi karibuni baadhi ya mashirika ya wanaharakati walikutana jijini Dodoma na kuwachagua wafuatao kama wawakilishi wetu kwenye tume ya katiba, hawa ni;

1. Humphrey Polepole,

2. John Ulanga na

3. Prof. Ruth Meena,

Je, nini maoni yako?

No comments:

Post a Comment