RIPOTI YA ZIARA YA KUTEMBELEA WATU WENYE ULEMAVU
WILAYANI KARAGWE.
1 UTANGULIZI:
Awali ya yote
tunatanguliza shukrani za pekee kwa mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kufanya kazi
hii wa kuwafikia walengwa ambao tuliokuwa tumewalenga na kutujalia uzima kuzitembea
kilometa haikuwa kazi rahisi kukamilisha
kazi hii.
Tumejaliwa
kuzitembelea kata zote 40 za wilaya ya Karagwe na Kyerwa na leo hii tupo hapa
kuieleza jamii ya Karagwe na Tanzania kwa ujumla na sehemu nyingine ya jumuia
za kimataifa kuwa Karagwe tunayo idadi kubwa ya watu wenye ulemavu mbalimbali
kwa hiyo itambue ili atakayeguswa anaweza kuangalia ni kwa namna gani anaweza kutoa mchango wake
Katika zoezi hili
tumejaliwa kuongea na kuhoji watu wenye ulemavu wapatao watu 15575 wanaume
wakiwa ni 879 na wanawake 676 hii ni idadi ya walemavu waliohudhuria siku ya
ziara idadi itaongezeka pindi fomu tulizosambazwa zikirejeshwa tuna imani
itaongezeka maradufu maana kutokana jiografia ya maeneo ya wilaya hii wengi
hawakujitokeza pengine uhamasishaji hafifu wa viongozi na mwitikio wa jamii na
walemavu wenyewe pia kama tulivyo ainisha
katika ripoti hii.
Shukrani zetu pia
tunazitoa kwa Mkurugenzi wa Redio Fadeco Joseph
Sekiku kwa moyo wake wa upendo na kusaidia ambao umeanzisha matumaini
mapya kwa watu wenye ulemavu hapa wilayani Karagwe kuwapa fursa ya kupaza sauti
zao ilikuwa ni faraja tosha kwani kupitia ziara hizi mwanga mpya umeonekana
kwao maana kote tulikopita watu wenye ulemavu waliweza kuanza mara moja kuunda
umoja wao kwa ajili ya kujadili masuala yanayowagusa na kuangalia ni kwa namna
gani wanaweza kutatua baadhi ya changamoto zinazowakabili wao wenyewe.
Baada ya shukrani
hizo tunaomba tuwape picha ya wilaya ya
Karagwe ilivyo kwa wageni wapate kuifahamu wilaya hii na wilaya mpya ya Kyerwa
1.1
HALI YA WILAYA KWA UFUPI
Wilaya ya Karagwe ni kati ya Wilaya 8 za Mkoa
wa Kagera .inapatikana katika Latitude nyuzi 1º hadi 20º Kusini ya Ikweta na
Longitude 30º hadi 38º. 30” Mashariki mwa Greenwich .
Wilaya inapakana na Nchi ya Uganda upande
wa Kaskazini, Nchi ya Rwandaupande
wa Magharibi, Wilaya ya Ngara upande
wa Kusini na Wilaya ya Misenyi na Muleba upande wa Mashariki. Mto wa Kagera upo
mpakani mwa Wilaya ya Karagwe na Nchi ya Rwanda
na sehemu ya Kaskazini Magharibi mwa Nchi ya Uganda .
Wilaya ina eneo la Kilimita za Mraba
7,716,kati ya hizo Kilomita za Mraba 7,558 ni eneo la nchi kavu na Kilomita za
Mraba 158 ni eneo la maji. Mwinuko wa Ardhi kutoka usawa wa Bahari ni Mita 1500
hadi Mita 1800. mwinuko mrefu ni Mlima wa Rwabunuka .Hali ya hewa kwa ujumla ni
joto la wastani wa 20- 26ºC. Mvua zinanyesha kwa wastani wa Milimita 1,040 hadi
1,200 kwa Mwaka kati ya Mwezi September na Januari na kati ya Mwezi Machi na
Mei.
1.2 UTAWALA
Kiutawala Wilaya imegawanyika katika Tarafa
9, Kata 40 Vijiji 166 na Vitongoji 1,373. Katika mgawanyiko huu, Tarafa 5 Kata
12 Vijiji 57 na Vitongoji 211 ni vipya. Tangu Mwezi Julai 2010 Serikali
iliridhia ombi la kuanzisha Wilaya mpya ya Kyerwa, iliyo na Tarafa 4 Kata 18,
Vijiji 93 na jumla ya Vitongoji 646. Tunayo majimbo 2 ya uchaguzi ya Karagwe na
Kyerwa yaliyo na Wabunge wafuatao:-
- Jimbo la Karagwe- Mhe.Gosbert Blandes (CCM)
- Jimbo la Kyerwa- Mhe.
Eustace.O.Katagira(CCM) Pia tuna jimbo la Kayanga la Kanisa Katoliki na Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Lutheri Tanzania(KKKT)
1.3 IDADI
YA WATU
Kwa mjibu wa Sensa ya Mwaka 2002 Wilaya
ilikuwa na watu 423,423.
(Me 207,850 na Ke 215,573). Ongezeko la watu
kwa Mwaka ni Asilimia 2.9. Hivyo inakadiliwa kwa kutumia ongezeko hilo Mwaka
2011 Wilaya ilikuwa na idadi ya watu wapatao 639,651.
1.4 HISTORIA
YA WILAYA KWA UFUPI.
Wilaya ya Karagwe ilizinduliwa Mwaka 1958 na
Gavana Richard Turnbull baada ya kumegwa kutoka katika Wilaya ya Bukoba. Kwa hali hiyo Wilaya ya Karagwe
ilikuwepo wakati Tanganyika
inapata Uhuru wake hapo tarehe 9/12/1961. Wakati huo shughuli za kiutawala
zilikuwa zinafanyika katika maeneo mawili tofauti yaani Kayanga na Nyakahanga
(yaani Ahalukiko). Baadae Kayanga ikawa ndiyo Makao Makuu ya kiutawala ambako
Mkuu wa Wilaya alikuwa akifanya kazi wakati huo Nyakahanga palikuwa panatumiwa
na Omkama kama Makao Makuu yake.
Baada ya kueleza hali
ya wilaya kwa ufupi ninaomba niwarejeshe katika mada nzima au lengo mahususi
kwa siku ya leo ambalo li,etujumuisha hapa kwa ajili ya kuona ni jinsi gain tunaweza
kutatua changamoto na hali halisi ya watu wenye ulemavu katika wilaya hii ya
Karagwe na wilaya mpya ya Kyerwa.
Kilichopelekea kuwepo
zoezi hili la kuwatambua watu wenye ulemavu ni kuhamu hali halisi na
kupata yaliyokuwa wakielezwa mara kwa
mara na Bwana Ashimu Muhamudu ambaye ni mwenyekiti wa watu wenye ulemavu hapa
Karagwe akiwa akilalamika mara kwa mara kuwa watu wenye ulemavu wanakabiliwa na
changamotonyingi ikiwemo jamii kuwanyanyapaa ,kutowashirikisha kutowathamini kuwa na wao wanastahili huduma stahili sawa na watu wengine.
Kufuatia hilo Redio
Fadeco chini ya Mkurugenzi wake aliona ni vema kujinyima kile kidogo ili waweze
kwenda huko kwenye jamii kujua je hao watu wenye ulemavu ni kweli wapo na kama
wapo ni kweli jamii inawanyanyapaana kutowathamini na kuangalia ni vipi
viongozi wa ngazi husika wanawashirikishaje katika maamuzi ya masuala mazima ya
shughuli za maendeleo na mambo
yanayowagusa wao moja kwa moja.Hali tuliyoibaini katika zoezi hili la utafiti
wa kuwatambua ni pamoja na haya yafuatayo.
i)
Jamii ya
Karagwe na hata ya nje ya Karagwe ilikuwa haijui kabisa kuwa kuna idadi kubwa
ya watu wenye ulemavu hapa wilayani
kwani kuna wengi waliokuwa wakihoji maswali wakitaka kufahamu kweli kuna watu wenye ulemavu katika wilaya hii.
ii)
Hali ya
kipato kwa familia ambayo mama au baba mmojawapo ni mlemavu ni duni na hali
inayopelekea watoto wao kutoweza kumudu kumaliza shule nap engine kutoenda
kabisa shule.
iii)
Viongozi wa
ngazi ya kata vijiji na vitongoji kutowashirikisha kikamilifu katika shughuli za
maendeleo na maamuzi ya mipango ya mambo yanayowagusa watu wenye ulemavu.
iv)
Kutokuwa na
mtu wa kuwasemea katika vikao na wapi waelekeze sauti zao ili ziweze kusikia na
kutatuliwa matatizo yao
waliyonayo.
v)
Kuna ulemavu
mwingine unaweza kupatiwa ufumbuzi wa kimatibabu na kuondokana na tatizo hilo lakini ni wapi waanzie na waelekee mfano ni ugonjwa
wa Fistula na mdomo ulio wazi yaani mdomo wa sungura unatibiwa tatizo ni wapi
wapate wa kuwaelekeza wanapotoa tiba
vi)
Kutokuwa na
umoja wa watu wenye ulemavu ngazi ya kitongoji,kijiji na kata kitendo
kinachowanyima fursa ya kushiriki katika shughuli za kimaendeleo.
vii)
Viongozi na
wanajamii wa maeneo yote tuliyotembelea
asilimia 85 hawatambui vema aina za ulemavu ni zipi mfano wao hujua kuwa
mtindio wa ubongo si ulemavu,ugonjwa wa kifafa si ulemavu na aina nyingi za
ulemavu hali inayopelekea kuwepo
unyanyapaaji.
viii)
Kuna idadi
kubwa ya watoto wenye ulemavu kukosa haki yao ya msingi ya kupata elimu mfano
walio na ulemavu wa kutoongea Bubu,tuliobahatika kuongea nae hawajui ni wapi
watoto wao wanaweza kupata shule ili wakapate elimu wapo tulio wapata
Chanika,Nyakasimbi,Rutunguru na Rukuraijo mtoto Tumaini Silvester mwenye umri
wa miaka 10 alirudishwa nyumbani toka shule ya Mgeza kwa kinachoelezwa kuwa ni
kutokuwa na uwezo wa kujifulia mwenyewe nguo zao.
ix)
Kutokuwa na
mitaji ya kuanzisha biashara ndogondogo za ujasiriamali na wengine wana ufundi lakini ni wapi wapate vifaa vya kufanyia kazi
zao ili waweze kujikimu kimaisha.
x)
Kutokuwa na
elimu ya kuanzisha miradi na elimu ya kujitegemea maana hata kata zenye umoja
na zimekwisha changia pesa na kuwa nazo mfukoni hawazifanyii kitu chochote
mfano kikundi cha Runyaga-Chanika wanakiasi cha Sh 60,000 hawana mradi,Bweranyange wanakiasi cha sh 62,500 hawana mradi na Ihanda wanakikundi hawana mradi na
vikundi vingine vya Kiruruma,Nyakayanja,Nyakasimbi, Kimuli na Kibondo elimu ya
kujitegemea inahitajika.
xi)
Kuwepo hali
ya kujinyanyapaa wenyewe walemavu kwa kutojitokeza nap engine kuwa na usiri
katika kutaja aina ya ulemavu,pia walezi wa watu wenye ulemavu kuwepo na tabia
ya kuwafungiana ndani pengine kuona kama ni
mkosi kuwa na mlemavu.
xii)
Kuwepo kundi
kubwa la wazee waliojitokeza kuwa ni walemavu wakati mwingine ikiwa ni
kukabiliwa na hali ngumu kitu kinachotokana na kusauliwa hivyo ndio maana timu
hii inashauri kuwepo nguvu ya pamoja tunaamini kuna wadau wanaohusika na
kuratibu na kutekeleza sera inayohusu wazee ikitekelezwa vema tutaondoa tatizo
hili.
xiii)
Kuwepo na
mtazamo hasi kuamini kuwa ulemavu mwingine kuwa ni wa kurogwa jambo ambalo ni
hatari kwa jamii kwani hata katika vikundi hawezi kujitokeza.
Ni mengi lakini hayo
ni baadhi ambayo tunaona ni makubwa yanayohitaji nguvu ya pamoja ya jamii,wadau
wa maendeleo yaani mashirika ya dini,yasiyo ya serikali nay a serikali na
serikali yenyewe ili kuweza kuwa na uwiano katika kutoa haki kwa wote kwenye
jamii.
Kama ilivyo kawaida ya kazi yoyote ile haiwezi
kukosa changamoto za hapa na pale kwani ili ufikie mafanikio lazima ukumbane na
vikwazo ukabiliane navyo ndipo uweze kufanikiwa ndiyo maana bila hivyo hakuna haja ya kuhainga na
maendeleo.
Kwanza mtazamo wa
jamii kuwa na utegemezi wa kupata misaada,ushirikiana,usiri wa kutoelezea
ulemavu walionao,wengine kutaka kujiandikisha tu kwasababu ya kujua kuna
chochote.
Wengi wao wanaamini
kuwa ulemavu mwingine ni wa kurogwa imani ambayo inachangia sana kutokuwepo takwimu sahihi za watu wenye
ulemavu maana hawako tayari kujitokeza kuelezea ulemavu walionao kwa jamii ili
waweze kusaidiana katika kukabiliana na changamoto zinazowakabili.
2
KUWATAMBUA
WATU WENYE ULEMAVU NA AINA YA ULEMAVU WALIONAO.
Zoezi la kuwatambua
watu wenye ulemavu hapa wilayani Karagwe lilianza rasmi tarehe 22.2.2012 katika
kata za Rukuraijo, Nkwenda na Rwabwera kwa kuwatembelea katika vijiji vya na
kufanyanao mahojiano na kubainisha ni changamoto zipi zinawakabili na
nijitihadi zipi wanazifanya katika kukabiliana na changamoto hizo.
Nimengi katika ziara
hizi za kuwatambua watu wenye ulemavu tumeyabaini na mengine kuibuliwa ambayo
tulikuwa hatuyajui kwani bila kumuuliza mlengwa huwezi juu anakataa nini na
anahitaji nini baadhi tuliyobaini
ni,kuwepo idadi kubwa ya watu wenye ulemavu,aina mbalimbali za ulemavu,kutokuwa
na umoja unaounganisha watu wenye ulemavu katika ngazi za vijiji hata kata,kutokuwepo
ushirikishwaji wa kutosha kwa watu wenye ulemavu kati miradi ya maendeleo na katika
maamuzi kwa mambo yanayowahusu kama walengwa wakuu.
Pia tuliweza kufahamu
ni mazingira yapi watu wenye ulemavu wanayoishi na hali ya maisha yao kwa
ujumla ikiwa inajumuisha familia zao.Ifuatayo ni jedwali linaloonesha
kata idadi ya watu wenye ulemavu ,aina ya ulemavu na kipi kimefanyika katika
kusaidia kutatua changamoto na maoni kwa ujumla.
2.1 HALI HALISI YA
WATU WENYE ULEMAVU KATIKA ZIARA YA KUWATAMBUA
HAPA WILAYANI KARAGWE.
Katika ziara ya kuwatambua
watu wenye ulemavu tuliweza kubaini mengi kama tulivyokwisha bainisha hapo juu
tuliweza kuionea hali halisi na kupata picha kamili juu ya watu wenye ulemavu
ni jinsi gani ambavyo ni kundi lenye mahitaji maalumu ambalo linahitaji
jitihada za pamoja za mashirika ya umma na ya binafsi,wadau
wamaendeleo,serikali na jamii kwa ujumla ili kuleta usawa katika maendeleo
kwenye jamii yetu.
Mengi tumejifunza lakini tuliyoweza kuyabaini
ni pamoja na hali ya kipato miongoni mwa familia za watu wenye ulemavu,kipato
kuwa duni,kutoshirikishwa kikamilifu katika mambo yanayowahusu,kuwa na
utegemezi kutoka kwa ndugu ama kwa familia zao,pia kuwepo na dhana ya imani za
kishirikina ambazo kwa kiasi kikubwa zinachangia ulemavu mwingine usingekuwa wa
lazima wangeweza kupata matibabu na kupona kabisa na kutojua ni wapi wanaweza
kusemea au kuelekeza shida zao zikasikilizwa na kupatiwa ufumbuzi.
Katika kata hizi hali
halisi tuliyoweza kujionea ni kutokuwepo ushiriki wa watu wenye ulemavu katika
vikao vya maamuzi na kutokuwa na umoja ambao ungelikuwa ni sehemu ya kutatua
baadhi ya changamoto zinazowakabili.
Pia tuliweza kubaini
moja kwa moja watu wafuatao wangesaidiwa au kupatiwa ufumbuzi wa matatizo yao wangeweza kuondokana
na matatizo wanayo wakabili.
Wengi wao wanaomba kusaidiwa
kupunguziwa michango pengine kutokana na hali duni za maisha walizonazo
kutokana na kutokuwa na ukamilifu wa viungo kwani hawawezi kumudu gharama za
kuwasomesha watoto pia kuitunza familia kwa ukamilifu.
Umoja wa watu wenye ulemavu wa kata Bweranyange
ungesaidiwa elimu ya mchanganuo mzuri wa kuanzisha mradi ungekuwa ni mkombozi
kwa umoja huo kwani wameishaonesha
jitihada zao kwani mpaka sasa wanakiasi cha shilingi 62,500 kutokana na
michango kukaa katika mfuko bila kuzifanyia mradi itakuwa na haina faida kwa
wanachama hao.
Mfano wa umoja wa
watu wenye umoja katika kata ya Bweranyange ungelifaa kuwa moja ya chanzo
muhimu cha kuwa na umoja uliodhabiti kwa watu wenye ulemavu hapa wilayani ili
kuwa na nguvu ya pamoja.
Wapo baadhi ya
walemavu wanaohitaji msaada wa haraka kwa kupata matibabu au kupatiwa msaada kama ule magongo kwani hali zao zinahitaji uangalizi
zaidi na wengine wakiwezeshwa wanaweza kujikwamuwa kimaisha kutoka hali duni
kwenda hali nzuri.mfano katika kata ya;
1.Bweranyange
i)Pendo Bita-ambaye ni mtoto ana ugonjwa ambao
umesababisha mguu wake
kuoza hadi mfupa
kutokezea kwa nje hivyo msaada wa matibabu
unahitajika haraka
ii)Teleza
Joseph-Anahitaji msaada wa matibabu ya miguu maana ina kidonda
kinachohitaji
matibabu ya haraka na magongo ya kutembelea
iii) Moris Philibert-Anahitaji msaada wa matibabu.
2.Kibondo
i)Genegeva Raulian- Ambaye ni mlemavu wa mguu anahitaji
msaada wa kuwasom
esha watoto wake 2 mmoja
akiwa kidato cha kwana na
kidato cha
tatu katika shule ya sekondari Nyabiyonza.
1.NYAISHOZI
i)Beath Christian
-ambaye ni mtoto ana ulemavu wa viungo anahitaji msaada wa
marekebisho ya
wilichair aliyokuwa nayo imeharibika.
ii)Joshua Josephat
-Anahitaji msaada wa matibabu ya miguu maana imepooza.
iii) Mhubiri Joseph -Anahitaji msaada wa matibabu ya miguu
naye imepooza.
iv)Athanasi Mtunzi –Ni mlemavu wa macho ana miaka kumi na
18 ana tatizo la
macho
anaomba msaada wa matibabu.
2.IHEMBE
i)Akilina
Respisius –Ana ulemavu wa viungo vyote yeye anaomba akipatiwa
msaada wa wilichair aweze
kumudu maisha yake.
ii)Ajuna Joseph- Ana
ulemavu wa macho anahitaji msaada wa matibabu ya
maana anasoma
darasa la nne yanamsumbua.
3.RUGU
i) Selematus
Tibamanya-Yeye ni mlemavu wa mguu
anaomba msaada wa
kumsomesha motto wake
ii)Henericko Bebaiya – Ana ulemavu wa macho
yeye anahitaji matibabu.
iii)Steven Faustine – Yeye ana ulemavu wa kupungukiwa na
akili pia ni bubu
msaada wa
kumtunza.
4NYAKASIMBI
i)Abdala Tomasi-Ana ulemavu wa miguu yeye anahitaji
msaada wa baiskeli
kuendesha kwa
kunyonga na mikono.
ii)Nzoka Kagande –Yeye anahitaji msaada wa kusomesha
watoto wake,ana
ulemavu wa
mkono.
iii)Afrey Aron –Yeye ni bubu mama wa motto huyu yeye
anabainisha kuwa kiu
yake ni motto wake
ni kupata shule ya walemavu.
iv)Pundensiana
Rwanga-Yeye anaomba kujengewa nyumba baada ya kunyanga
nganywa yake alipokuwa Muhimbili kimatibabu.
Na changamoto
nyingine ni kutokuwa na umoja ambao ungeweza kusaidia wao kubuni na kunzisha
miradi ambayo kwa kiasi Fulani ingeweza kutatua baadhi ya changamoto na pia
wangeweza kushirikishwa katika maamuzi.
Moyo wa uzalendo na
uadilifu unahitajika katika kuunganisha nguvu za pamoja kutatua hili suala kama Redio FADECO ilivyotoa nafasi kwa watu wenye
ulemavu kupaza sauti zao pia imeweza
kuwa mwanzo mpya kwa watu wenye ulemavu kuunda vikundi .
2.2Ifuatayo ni chati
inayoonesha takwimu za watu wenye ulemavu na ni mambo yapi wameishafanya katika
kutatua baadhi ya changamoto zinazowakabili
|
KATA
|
|
AINA YA ULEMAVU
|
IDADI
|
JINSIA
|
NINI KIMEFANYIKA
|
MAONI
|
|
|
ME
|
KE
|
||||||
|
KIBARE
|
|
|
164
|
46
|
66
|
15 Wanazo fimbo
|
Waliobakia wana
huhitaji wa kusaidiwa fimbo,miwani na wengine mahitaji ya shule haswa 2 mmoja
akiwa kidato cha
|
|
|
Miguu 47
|
|
|
|
za kutembelea
|
||
|
|
|
Matende 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili
15
|
|
|
|
1 alikuwa na mguu
|
|
|
|
|
Mikono 20
|
|
|
|
wa bandia ila
|
|
|
|
|
Macho 11
|
|
|
|
amezidi umri sasa
|
|
|
|
|
Viziwi 8
|
|
|
|
ni mfupi
|
|
|
|
|
Kifua 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Migongo 4
|
|
|
|
|
pili,na
|
|
|
|
Bega 1
|
|
|
|
|
msekondari ya
Bugomora
|
|
|
|
Kichwa 4
|
|
|
|
|
Mgonjwa wa
|
|
|
|
Ngozi 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 7
|
|
|
|
|
fistula asaidiwe.
|
|
|
|
Fistula 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Nyonga 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kiwete 1
|
|
|
|
|
|
|
KANONI
|
|
Kichwa
|
51
|
36
|
15
|
|
|
|
|
|
Busha 1
|
|
|
|
Kuna upendo kwa
watu wenye ulemavu.
|
Uongozi wa kata una
hitajika kuongeza nguvu katika kuwaunganisha walemavu.
|
|
|
|
Mgongo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 7
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viziwi
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 7
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kiwete 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 21
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Ngozi 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Nundu 3
|
|
|
|
|
|
|
KAMULI
|
|
Miguu 32
|
56
|
37
|
19
|
|
|
|
|
|
Mikono 10
|
|
|
|
Kuna jitihada za
kuunda umoja.
|
Lazima msaada wa
kuihamasisha unahitajika.
|
|
|
|
Akili 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viziwi 1
Bubu 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 5
|
|
|
|
|
|
|
SONGAMBERE
|
|
Miguu 14
|
53
|
40
|
13
|
|
|
|
|
|
Mikono 5
|
|
|
|
Kuna jitihada za
kuunda vikundi
|
Elimu zaidi bado
inahitajika kuwasaidia kuwa na umoja imara.
|
|
|
|
Mgongo 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 12
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Ngozi 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Midomo 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
|
|
|
NKWENDA
|
|
|
20
|
14
|
6
|
|
|
|
|
|
Miguu 10
|
|
|
|
Elimu ya kuunda
umoja na kuanzisha mradi imetolewa
|
Bado jitihada za
wadau na vyombo vya habari zinahitajika
|
|
|
|
Mikono 5
|
|
|
|
|
Chuo cha walemavu
cha Muhulirwe kijengewe uwezo kuwasaidia walemavu
|
|
|
|
Viungo 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Albino 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
-
|
|
|
RUKURAIJO
|
|
|
20
|
16
|
4
|
|
|
|
|
|
Mikono 3
|
|
|
|
Kuna baadhi ya
walemavu wanajishughulisha na biashara ndogondogo.
|
Tatizo ni mtaji
hivyo wawezeshwe upande wa mtaji.
|
|
|
|
Ngozi(albino)1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 7
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KIMULI
|
|
|
100
|
70
|
30
|
|
|
|
|
|
Mikono 14
|
|
|
|
Kumeanzishwa umoja
ktk kata hii.
|
Kuna changamoto
ikiwa ni pamoja na kutokuwepo usajili wa umoja huo
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
|
Kusaidia katika
kuanzisha mradi wa kuingiza kipato.
|
|
|
|
Miguu 27
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 6
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifafa 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 12
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 10
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mgongo 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viziwi 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Masikio 6
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
NYAKATUNTU
|
|
|
56
|
30
|
26
|
|
|
|
|
|
Kifafa 3
|
|
|
|
Elimu ya utambuzi
|
|
|
|
|
Mikono 15
|
|
|
|
|
Bado jitihada
zinahitajika
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 13
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 7
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viziwi 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 5
|
|
|
|
|
|
|
KIKUKURU
|
|
|
31
|
13
|
18
|
|
|
|
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 8
|
|
|
|
Kuunda vikundi
elimu imetolewa
|
Jitihada za
serikali na jamii bado zinahitajika
|
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 10
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
IHANDA
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 5
|
32
|
20
|
12
|
|
|
|
|
|
Viungo 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 11
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
BUSINDE
|
|
|
27
|
10
|
17
|
|
|
|
|
|
Kifafa 1
|
|
|
|
Kuanzisha vikundi
ndilo linafanyiwa kazi
|
Elimu ya
uanzishwaji miradi inahitajika
|
|
|
|
Mikono 8
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 10
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
BUGOMORA
|
|
|
33
|
20
|
13
|
|
|
|
|
|
Mikono 9
|
|
|
|
Kuna jitihada za
baadhi ya watu walioenda hospitalini.
|
Ushauri bado
unahitajika.
|
|
|
|
Bubu 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 12
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Operation 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
UgonjwaNgozi 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 6
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
RUTUNGURU
|
|
|
11
|
6
|
5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kuunda vikundi ndo zoezi linaloendelea.
|
Elimu ya kujitegemea ni muhimu
|
|
|
|
Mikono 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KIBINGO
|
|
Miguu 6
|
13
|
6
|
7
|
|
|
|
|
|
Viungo 1
|
|
|
|
Kuna upungufu kwa uongozi wa kata kutowathamini .
|
Uongozi unahitaji kuelimishwa juu ya kuwasaidia watu wenye ulemavu.
|
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
MURONGO
|
|
|
16
|
9
|
7
|
|
|
|
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
Kuna upendo wa viongozi kuwatambua watu wenye ulemavu.
|
Jitihada za waandishi kutembelea kata hii upo maana ipo mpakani na
mawsiliano si mazuri.
|
|
|
|
Macho 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
MABIRA
|
|
|
40
|
25
|
15
|
|
|
|
|
|
Mikono 4
|
|
|
|
Kuna jitihada za kuunda umoja zimeanzishwa
|
Wadau na serikali ni lazima ziwepo katika kuwaunganisha
|
|
|
|
Macho 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 10
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Masikio 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 7
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mgongo 4
|
|
|
|
|
|
|
RWABWERE
|
|
|
26
|
14
|
12
|
|
|
|
|
|
Miguu 6
|
|
|
|
Kuna jitihada za kuelimisha wanajamii juu ya kutowanyanyapaa
|
Elimu kwa jamii kuhusu kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu inahitajika
|
|
|
|
Macho 5
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 6
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Masikio 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
|
|
|
CHONYONYO
|
|
Kifafa 2
|
22
|
12
|
10
|
|
|
|
|
|
Macho 3
|
|
|
|
Hakuna ushirikiano
|
Uongozi wa serikali una ulazima wa kutoa elimu kwa jamii.
|
|
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 6
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
24
|
11
|
13
|
|
|
|
ISINGIRO
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
Kuna unafuu maana kuna chuo cha ufundi kilichosaidia watu wenye ulema
kupata ujuzi
|
Chuo hiki kingeliendelezwa kwa ajili ya kuwapa fursa watu wenye
ulemavu.
|
|
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
Macho 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viziwi 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 4
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 6
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KAISHO
|
|
|
20
|
9
|
11
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
Jitihada za uongozi wa kata kuwathamini zinaleta hamasa kwao
|
Kuimarisha umoja wa watu wenye ulemavu unahitajika
|
|
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 3
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viziwi 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 8
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
IGURWA
|
|
|
41
|
21
|
20
|
|
|
|
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
Unafuu wa kusikilizana na kuthaminia upo.
|
Kuundwe umoja ulio imara kwa ajili ya kutatua changamoto
zinazowakabili.
|
|
|
|
Macho 10
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viziwi 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 6
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 15
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Ngozi 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KATA
|
AINA YA ULEMAVU
|
IDADI
|
JINSIA
|
NINI KIMEFANYIKA
|
MAONI
|
|
|
ME
|
KE
|
|||||
|
KITUNTU
|
|
43
|
26
|
17
|
|
|
|
|
Miguu 21
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 6
|
|
|
|
17 Wanafimbo za
kutembelea.Japo nyingine ni za kienyeji ambazo hazikidhi matakwa sahihi.
|
3.Wangepatiwa
ufadhili wa baiskeli za watu wenye ulemavu kama
walivyoomba.
|
|
|
Matende 1
|
|
|
|
||
|
|
Mikono 4
|
|
|
|
||
|
|
Viungo vyote 5
|
|
|
|
||
|
|
Akili(Taira) 2
|
|
|
|
||
|
|
Mdomo 1
|
|
|
|
||
|
|
Ngozi 1
|
|
|
|
||
|
|
Kiziwi 1
|
|
|
|
||
|
|
Nundu(ebango)1
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
CHANIKA
|
|
36
|
22
|
14
|
|
|
|
|
Macho 4
|
|
|
|
10.Wana fimbo za
kutembelea
1.Mmoja alifanyiwa
upasuaji wa mdomo wa sungura maendeleo yake ni mazuri
2.Kijiji cha
Runyaga wanakikundi chao cha watu wenye
ulemavu
|
1.Wazazi
ambao ni walemavu wangepunguziwa ada kwa watoto wao walioko sekondari
2.Kikundi cha
walemavu wangesaidiwa utalaamu wa kuanzisha mradi kama
walivyoomba
|
|
|
Mikono 7
|
|
|
|
||
|
|
Miguu 17
|
|
|
|
||
|
|
Akili(Taira) 2
|
|
|
|
||
|
|
Nundu 1
|
|
|
|
||
|
|
Kifua 1
|
|
|
|
||
|
|
Mdomo 1
|
|
|
|
||
|
|
Bubu 1
|
|
|
|
||
|
|
Kifafa 1
|
|
|
|
||
|
|
Mgongo 1
|
|
|
|
||
|
|
Viungo vyote 4
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
KATA
|
AINA YA ULEMAVU
|
IDADI
|
JINSIA
|
NINI KIMEFANYIKA
|
MAONI
|
|
|
ME
|
KE
|
|||||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KIRURUMA
|
|
23
|
16
|
7
|
|
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
Baadhi wana magongo
ya kutembelea
|
Wasaidiwe jinsi ya
kuanzisha miradi.
|
|
|
Mikono 9
|
|
|
|
Wameunda umoja wa
watu wenye ulemavu.
|
Wenye mahitaji
matibabu ya haraka waelekezwe ni wapi waende.
|
|
|
Kichwa 1
|
|
|
|
Wanashirikiana
kujadili changamoto zinazowakabili.
|
|
|
|
Ugonjwa wa ngozi 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 5
|
|
|
|
|
|
|
|
Bandama 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Mgongo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Masikio 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo vyote 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
NYABIYONZA
|
|
6
|
4
|
2
|
|
|
|
|
Akili (Taira)1
|
|
|
|
Kuna mmoja
alifanyiwa opereshen
|
Waidiwe katika
kuunda umoja wao.
|
|
|
Miguu 3
|
|
|
|
Hakuna umaja ktk
kata
|
Washirikishwe ktk
maamuzi
|
|
|
Kichwa 2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
BWERANYANGE
|
|
37
|
23
|
14
|
|
|
|
|
Miguu 13
|
|
|
|
Kuna umoja imara wa
watu wenye ulemavu.
|
|
|
|
Macho 8
|
|
|
|
Kuna mtoto
aliyesaidiwa na Redio Fedeco
|
|
|
|
Mikono 6
|
|
|
|
|
|
|
|
Masikio 4
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifafa 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifua 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili(Taira)1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KIBONDO
|
|
37
|
21
|
16
|
|
|
|
|
Kifafa 1
|
|
|
|
Umoja upo umeundwa.
|
Elimu ya kuingiza
kipato inahitajika ili waweze kujikimu kimaisha na kujitegemea
|
|
|
Macho 4
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 6
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifua2
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 19
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili 3
|
|
|
|
|
|
|
|
Kupooza 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Tumbo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Ngozi/alibin 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Matende 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Mdomo wa sungura 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Kibiyongo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
NYAKABANGA
|
|
10
|
6
|
4
|
|
|
|
|
Mdomo wa sungura 1
|
|
|
|
Uhusishwaji wa
walemavu ni mdogo.
|
Elimu ya utambuzi
ni muhimu kwa watu wenye ulemavu na viongozi wa serikali ya kata
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
||
|
|
Mgongo 1
|
|
|
|
||
|
|
Viungo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Tumbo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifua 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Ngozi(albino)2
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
NYAKAKIKA
|
|
16
|
9
|
7
|
|
|
|
|
Miguu 11
|
|
|
|
Bado uongozi wa
kata unawanyanyapaa
|
Lazima elimu juu ya
kuondoa vitendo vya unyanyapaa viondolewe.
|
|
|
Kifafa 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Akili(Taira)1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
ME
|
KE
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
NYAISHOZI
|
|
17
|
8
|
9
|
|
|
|
|
Viungo 2
|
|
|
|
Mmoja ana wilichair ila imeharibika inahitaji
marekebisho
|
Wangesaidiwa msaada
wa kurekebisha wilichair
|
|
|
Miguu 6
|
|
|
|
||
|
|
Mikono 2
|
|
|
|
||
|
|
Macho 3
|
|
|
|
||
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
||
|
|
Kifafa 1
|
|
|
|
||
|
|
Kichwa 1
|
|
|
|
Kuna watoto wawili
wamepata matibabu ila bado kunahitajika msaada zaidi.
|
Watoto wapatiwe
msaada wa matibabu zaidi ili waweze kuendelea na shule.
|
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
IHEMBE
|
|
22
|
15
|
7
|
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
Tumewapatia elimu ya
kujiunga katika vikundi
|
Wangesaidiwa wenye
mahitaji ya matibabu.
|
|
|
Viungo 4
|
|
|
|
||
|
|
Miguu 6
|
|
|
|
||
|
|
Mikono 4
|
|
|
|
Wabuni na kuanzisha
miradi
|
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
||
|
|
Tumbo 2
|
|
|
|
||
|
|
Akili 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
RUGU
|
|
43
|
31
|
12
|
|
|
|
|
Kichwa 4
|
|
|
|
Kuna baadhi
wamepata matibabu ila bado hali si nzuri.
Elimu ya kuanzisha
vikundi tumeitoa
|
Kuna baadhi ya watu
wenye ulemavu wanahitaji msaada wa matibabu zaidi.
|
|
|
Ngozi 4
|
|
|
|
||
|
|
Miguu 12
|
|
|
|
||
|
|
Kiziwi 1
|
|
|
|
||
|
|
Kifua 2
|
|
|
|
||
|
|
Masikio 1
|
|
|
|
||
|
|
Akili 2
|
|
|
|||
|
|
Macho 3
|
|
|
|
||
|
|
Mikono 6
|
|
|
|
||
|
|
Viungo 5
|
|
|
|
|
|
|
|
Kifafa 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Magoti 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
NYAKASIMBI
|
|
29
|
19
|
10
|
|
|
|
|
Kifafa 1
|
|
|
|
Wameisha unda umoja
wa watu wenye ulemavu ngazi ya kata.
|
Wasaidiwe namna ya
kuwa na kuwa na vyanzo vya mapato.
|
|
|
Mikono 5
|
|
|
|
||
|
|
Macho 3
|
|
|
|
||
|
|
Mgongo 1
|
|
|
|
||
|
|
Viungo 5
|
|
|
|
||
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
||
|
|
Akili 1
|
|
|
|
Wapo ambao wameisha enda hospitali kwa jitihada
zao.
|
Wasaidiwe elimu ya
kujitegemea ili waweze kuondokana na mtazamo wa misaada na utegemezi.
|
|
|
Bubu 1
|
|
|
|
||
|
|
Nyonga 1
|
|
|
|
||
|
|
Masikio 1
|
|
|
|
||
|
|
Miguu 9
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
RUGERA
|
|
42
|
28
|
14
|
|
|
|
|
Mikono 7
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 13
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 3
|
|
|
|
Kuna jitihada za
kuunda umoja.
|
Elimu ya
kujitegemea ya kubuni na kuanzisha miradi mbalimbali inahitajika.
|
|
|
Macho5
|
|
|
|
||
|
|
Kupooza 6
|
|
|
|
||
|
|
Mgongo 3
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
NYAKAHANGA
|
|
14
|
8
|
6
|
|
|
|
|
Bubu 1
|
|
|
|
Elimu ya kuanzisha
vikundi imetolewa
|
Elimu ya ushiriki
katika shughuli za maendeleo kwa watu wenye ulemavu.
|
|
|
Viungo 3
|
|
|
|
||
|
|
Mikono 4
|
|
|
|
||
|
|
Nundu 1
|
|
|
|
||
|
|
Miguu 5
|
|
|
|
|
|
|
KIHANGA
|
|
12
|
9
|
3
|
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
Jtihda za kuunda
umoja zipo
|
Elimu zaidi
inahitajika.
|
|
|
Viungo 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 4
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Masikio 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 1
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KAYANGA
|
|
12
|
8
|
4
|
|
|
|
|
Miguu 4
|
|
|
|
Jitihada bado ziko
nyuma sana
inabidi bidii iongezwe maana ndio makao makuu hivyo kuwe ndio mfano.
|
Uhamasishaji
unahitaji ili watu waweze kutambua wajibu wao katika kusaidia kutatua
matatizo ya watu wenye ulemavu.
|
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
||
|
|
Mikono 3
|
|
|
|
||
|
|
Viungo 2
|
|
|
|
||
|
|
Akili 1
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
NDAMA
|
|
84
|
57
|
27
|
|
|
|
|
Viwete2
|
|
|
|
Hakuna jitihada za
madhubuti za kuunda umoja
|
Jitihada za kuunda
umoja katika kata hii zinahitaji kwa wahisani wote kushirikiana na watu wenye
ulemavu.
|
|
|
Mikono 21
|
|
|
|
||
|
|
Akili 4
|
|
|
|
||
|
|
Kupooza 2
|
|
|
|
||
|
|
Miguu28
|
|
|
|
||
|
|
Bubu 3
|
|
|
|
||
|
|
Macho14
|
|
|
|
||
|
|
Masikio 5
|
|
|
|
||
|
|
Kifua 1
|
|
|
|
||
|
|
Shingo 2
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
BUGENE
|
|
100
|
78
|
22
|
|
|
|
|
Macho 18
|
|
|
|
Elimu imetolewa ya
utambuzi
|
Jitihada za
wanahabari na wadau ni muhimu kutatua
changamoto za watu wenye ulemavu
|
|
|
Akili 5
|
|
|
|
|
Jamii pia
inahitajika kuelimishwa juu ya wajibu wao
|
|
|
Kupooza 7
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 2
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 6
|
|
|
|
|
|
|
|
Miguu 45
|
|
|
|
||
|
|
Mikono 12
|
|
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
KYERWA
|
|
50
|
26
|
24
|
|
|
|
|
Kifafa 5
|
|
|
|
Elimu ya kuunda
vikundi ilitolewa
|
Elimu ya kubuni na
kuanzisha miradi inahitajika.
|
|
|
Miguu 15
|
|
|
|
|
|
|
|
Mikono 16
|
|
|
|
|
|
|
|
Kichwa 4
|
|
|
|
|
|
|
|
Viungo 5
|
|
|
|
|
|
|
|
Bubu 1
|
|
|
|
|
|
|
|
Macho 4
|
|
|
|
|
|
2.3 WADAU
TULIOWABAINI KATIKA WILAYA YA KARANGWE NA NJE YA KARAGWE KWA AJILI YA
KUSHIRIKIANA KUTATUA MATATIZO YA WATU WENYE ULEMAVU.
Katika zoezi hili
tuliweza kubaini wadau ambao wanaweza kushirikiana kwa pamoja ili kuweza kutatua
matatizo ya watu wenye ulemavu ili
kuleta umoja na mshikamano wa kukuza sauti zaidi kwani tulichokibaini kuna
wadau wngine wanashughulika na msuala ya watu wenye ulemavu moja kwa moja.
Wadau hao ambao
tukiunganisha nguvu kwa pamoja tunaweza kuinua sauti zao na kuimarisha hali zao
hao ni KCBR, SAWAKA, HALMASHAURI YA
WILAYA,VYOMBO VYA HABARI,AFYA na Jamii kwa ujumla.
KCBR ni shirika
linalohusika na shughuli za kuwahudumia watu wenye ulemavu wilayani hivyo
tukiweza kushirikiana kwa pamoja uwezekano mkubwa wa kupaza sauti kwa pamoja
ili kutetea haki za watu wenye ulemavu pia kuinua hali za maisha yao.
SAWAKA tulichokibaini
katika zoezi hili ni kuwa kuna wazee ambao wanaulemavu ambao shirika hili la
sawaka ambalo linajihusisha na masuala mazima ya kuwa hudumia wazee wanaweza kusaidia katika
kupunguza matatizo katika upande wa watu wenye ulemavu kwa ajili ya kusaidiana
kutatua matatizo yanayokabili watu hao.
HALMASHAURI ZA WILAYA
tumeweza kubaini kuwa tukishirikiana vizuri na halmashauri zote hapa nchini
kupitia vitengo vya maendeleo ya jamii,ustawi wa jamii kwani tumebaini hivyo ni
kuwa maendeleo ya jamii maana wanaguswa moja kwa moja kutambua makundi yenye
mahitaji maalumu,na upande wa ustawi wa jamii ni kwa ajili ya sera ya matibabu
kwa watu wenye ulemavu zenasemaje hivyo tunaweza kushirikiana kuwasaidia watu
wenye ulemavumaana wengi wao wanashindwa kupata matibabu kwasababu hawajui
wafanye nini.
VYOMBO VYA HABARI
tumebaini kuwa vyombo vya habari vikitimiza lengo lake kwa ukamilifu kazi zake
ambazo ni uelimishaji,kuhabarisha na kuburudisha tunaweza kuisaidia jamii kwa
ujumla. Najua waandishi wa habari na vyombo vya habari wakikaa kwa pamoja
tunaweza kuihdumia jamii kwa ufasahau
zaidi.
2.4 MAPENDEKEZO NA MAONI YA JUMLA KWA ZOEZI
HILI LA UTAFITI NA ZIARA ZIMA NINI
KIFANYIKE.
i)Kwanza elimu ya
kuanzisha umoja ngazi za kata itolewe kwa watu wenye ulemavu wao wenyewe ili
waunde umoja wao utakaowasaidia katika kutatua baadhi ya changamoto kama vile kutoshirikishwa katika shughuli za maendeleo.
ii)Elimu ya kubuni na
kuanzisha miradi itolewe pia ili kuwepo na hamasa ya kujiunga kwenye umoja
waweze kuunganisha nguvu katika kutatua matatizo yao na kujikimu kimaisha kuliko kutegemea
misaada ambayo huwa ni ya muda hivyo wajengewe uwezo wa kujitegemea
iii)Vyombo vya habari
na waandishi wa habari wapatiwe mafunzo maalumu ya jinsi gain ya kuripoti vema
na kuandaa vipi vyenye kugusa moja kwa moja maisha ya watu wenye ulemavu kwa
ufasaha na kuepuka lugha ambazo zinaweza kuleta unyanyapaaji na utengano
miongoni mwa watu wenye ulemavu.
iv)Mashirika ya
kidini,yasiyo ya kiserikali,wadau wa maendeleo,jamii na serikali kwa ujumla
washiriki kwa pamoja kuunganisha nguvu kwa lengo la kutatua changamoto
zinazowakabili watu wenye ulemavu.
v)Wasaidiwe katika
kutetea na kutekelezwa kwa sera mbalimbali zinazohusu watu wenye ulemavu katika
kupata huduma za matibabu,kukopeshwa ikiwezekana kupitia vikundi vyao waungane
kuanzisha SACCOS YAWALEMAVU WILAYA.
vi)Kwa kata ya
Bweranyange wameonesha mfano wakuigwa
maana uongozi wa kata hiyo unawashirikisha watu wenye ulemavu kwa maana
katibu wa umoja wa watu wenye ulemavu ndiye pia katibu wa baraza la kata.Pia
diwani wa kata hiyo na afisa kata kuwapa kipaombele ni mfano wa kuigwa na
viongozi wengine ili uwe kama majaribio ya kata nyingine kwenda kujifunza na si
karagwe tu bali Tanzania.
vii)Umoja wa watu
wenye ulemavu wa kata ya Nyakasimbi
ujengewe uwezo na kuendelezwa zaidi ili uwe na manufaa na chombo cha
kusaidia watu wenye ulemavu katika kata yao pia unaweza kuchukuliwa kama eneo
la mfano wa kuanzisha umoja kama huo kwa kata za Ihembe,Rugu na Nyaishozi kwa
lengo la uongozi wa kata uwatambue na kuwashirikisha katika maamuzi ya
maendeleo na mambo yanayowahusu moja kwa moja ,pia kutetea na kutekeleza sera
mbalimbali zinazogusa mambo yao.
viii)Kwa umoja wa
kata za
Nyakasimbi,Kiruruma,Kimuli,Kibondo,Ihanda, na baadhi ya matawi ya kata
za Chanika mfano Runyaga na Kata ya Nyaishozi katika kijiji cha Nyakayanja
zijengewe uwezo na kuimarika ili kuwepo na umoja ulio imara katika kutatua
changamoto zinazowakabili.
ix)Watoto wenye
ulemavu ambao wanahitaji shule zenye kuhudumia watoto wenye ulemavu wasaidiwe
kutafutiwa nafasi katika shule hizo
walioko katika kata za
Chanika, Nyakasimbi,Rukuraijo,Rutunguru
ambao wameishajaribu kwenda Mgeza hawajafanikiwa kupata nafasi.
x)Wanaohitaji msaada
wa haraka kimatibabu pia wapatiwe ufumbuzi wa haraka ili kuwasaidia kurudi
katika hali zao za awali.Mfano watoto wawili wa Bugomora wenye ugonjwa wa ngozi
,na Pendo Bita wa Bweranyange mguu ambao unaoza unaweza kutibiwa.
xi)Chuo cha ufundi
kilichopo eneo la Muhulirwe katika kata ya Nkwenda kilicho chini ya uongozi wa
walemavu kiboreshewe miundo mbinu kwa upande wa vifaa maana wanacherehani za
kukodi hivyo wapatiwe zao ili kiweze kuwahudumia watu wenye ulemavu kikamilifu.
2.5 HITIMISHO.
Tunahitimisha kwa kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kutujalia kujionea hali
halisi ya maisha ya watu wenye ulemavu kwa kiasi kikubwa inahitaji moyo wa
uadilifu mkubwa katika kuwahudumia ,kuwafariji na kuwapa msaada wa ushauri.
Pia tunapongeza jitihada za mkurugenzi wa REDIO FADECO bwana Joseph
Sekiku za haraka za kuwasaidia watu wenye matatizo ya FISTULA NA MDOMO WA
SUNGURA kwani mama mmoja toka Kigorogoro tiyari yuko jijini Dar es salaam
akitibiwa na shirika la CCBLT ni mara tu baada ya kuwatambua na kwenda huko
kuona ni jinsi gain wanaweza kuwasaidia.
Tunashukuru sana kwa viongozi wale wote waliokuwa mstari wa mbele
kutupokea kwa upendo na kuonesha kuwajali watu wenye ulemavu mfano wao akiwa ni
uongozi nzima wa kata ya Bweranyange chini ya diwani wake Yusufu Kagande,Saby
Rwazo wa kata ya Kanoni,Uongozi wa kata ya Kiruruma ,kata Kaisho,Kimuli,
Rurukuraijo,Murongo,Kibare na Kata nyingine ambazo kwa kiasi kikubwa
zilijitahidi katikakuwajali watu wenye ulemavu
. Jamii na uongozi wa
kuanzia kitongoji mpaka Taifa kwa ujumla inatakiwa kulifanya suala la watu
wenye ulemavu kuwa mtambuka kwa kila kikao lijadiliwe na pia kuwahusisha katika
vikao vya maamuzi kwa mambo yanayowahusu na maendeleo kwa ujumla.Na sera
zinazohusu watu wenye ulemavu ziangaliwe na zitekelezwe kwa kikamilifu ili
kutatua matatizo yanayowakumba watu wenye ulemavu.
Tunaomba nguvu kutoka
kwa wadau wote kulifanya zoezi hili liwe ni suala mtambuka hivyo liwe ni moja
ya agenda kuu katika vikao vyote pia kuunganisha nguvu kwa ajili ya kulifanya
liwe endelevu hata ikiwezekana iwe mkoa wa Kagera wote na Tanzania kwa
ujumla.
IMEANDALIWA NA JUHUDI FELIX
No comments:
Post a Comment