Sunday, January 27, 2013

ELIMU LAZIMA KUUNGANISHA JITIHADA ZA PAMOJA ZA WADAU.

Waziri  wa nyumba na makazi  Profesa   Anna  Tibaijuka na Mbunge wa Jimbo la Nkenge  Assumpta Msama walipotembelea shule ya Karagwe sekondari wakiwa katika picha ya pamoja  na wanafunzi wa shule hiyo.Jirani na shule hiyo inayomilikiwa na Dayosisi ya Karagwe kanisa la KKKT Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Karagwe kinajengwa maeneo hayo kitakuwa na michepuo ya kilimo.

No comments:

Post a Comment