Aliyekuwa waziri wa Elimu katika serikali ya wanafunzi chuo cha maendeleo ya Jamii Buhare kwa Mwaka 2012/2013 BARAKA KYOMO amefariki Dunia na anatarajiwa kuzikwa nyumbani Kwao Tunduma wilaya ya Momba kesho Desemba 21 mwaka huu.Tutakuletea zaidi updates za tukio hilo.
Mwanga wa Milele Umwangazie bwana na apate Pumziko la Amani AMINA.
Mwanga wa Milele Umwangazie bwana na apate Pumziko la Amani AMINA.

No comments:
Post a Comment