Anaitwa Antony Eustace Mkazi wa wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera nchini Tanzania anasumbuliwa na tumbo baada ya kufanyiwa upasuaji kwa kuahamisha sehemu ya haja kubwa kuiweka pembeni mwa tumbo.
Anaomba msaada wa wa shilingi 700,000(laki saba) ili apatiwe matibabu kwenye hospitali ya Rufaa ya Bugando iliyopo Jijini Mwanza nchini Tanzania. Mawasiliano yake ni 0743 022789 AU 0789627789
KUMRADHI KWA PICHA HIZO.
No comments:
Post a Comment