Wednesday, August 1, 2012

HUU NDO MJI WA SOMALIA UMEHARIBIWA VIBAYA NA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE SASA WAANZA KUJENGWA


Huu ni mji wa Mkuu wa Somalia  ambao kwa miaka kadhaa ulikuwa ukishikiliwa na kikundi cha A-al shababu sasa umekombolewa umerudishwa katika mikono mwa serikali ya mpito na umeanza kujengwa upya.

No comments:

Post a Comment