Sunday, January 27, 2013

HILI NDIO SOKO LETU LILO KATIKA MAKAO MAKUU YA WILAYA YA KARAGWE

Hii  kweli  ni haki kwa walaji wa bidhaa zinazouzwa sokono hapo?Hili ni soko la  Kayanga ambapo ni makao makuu ya wilaya ya Karagwe lilihamishiwa hapa mwaka 2009 kwa madai eti  ni kupisha ujenzi wa soko la kisasa walipokuwa awali mpaka sasa ni kitendawili sasa bidhaa tena za vyakula kama inapangwa chini  mimi na wewe tujiulize mamlaka zipo?Na je madhara yake hawayajui au ndo kufanya kazui kwa mazoea?Na waachia wasomaji na waungwana wote maswali hayo mimi sina majibu.

No comments:

Post a Comment