MKUTANO WA BARAZA LA BIASHARA LA ZANZIBAR ZBC WAFUNGULIWA LEO
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,(katikati) akifuatana na Waziri wa Biashara, Viwanda na
Masoko,Nassor Ahmed Mazrui,(katikati) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo
Juliun Raphael,alipowasili katika Viwanja vya Salama Bwawani Hotel Mjini
Unguja,kuufungua Mkutano wa Saba (7) wa Baraza la Biashara la Zanzibar
ZBC,uliofanyika leo.
No comments:
Post a Comment