Saturday, December 26, 2015

SIMBA YALAZIMISHWA SALE NA MWADUI FC NA KUPUNGUZA MANENO YA JULIO.


 Mchezaji  wa  zamani  wa  AZAM  FC   Brain   Majwega    ameiokoa  Timu  yake  kwa  kuisawazishia  goli  hilo   katika  dakika  za  lala  salama  katika  mchezo  wao  uliofanyika  uwanja  wa  CCM Shinyanga.




Mwadui  FC  inayofundishwa  na  kocha  mwenye  maneno  mengi  Julio   ndiyo  ilikuwa  ya  kwanza  kupata  bao   katika  kipindi  cha  pili  cha  mchezo  huo  mfungaji  akiwa  ni  Nizar   Khalfani  aliyemalizia  mpira  wa  Kona.

No comments:

Post a Comment