Katibu
Tawala wa Mkoa
wa Shinyanga Abdul
Dachi ametembelea kituo hicho cha
Buhangija ili kuwajulia
hali watoto hao na kuwapatia
msaada mbalimbali ikiwemo
chakula.
Kituo
cha watoto wenye
ulemavu wa ngozi ambacho kipo
manispaa ya Shinyanga
kinachopokea watoto kuanzia
umri wa mwaka
mmoja ambao walipelekwa
na wazazi wao
wakihofia kukatwa viungo
vyao vya Mwili.


No comments:
Post a Comment