Waziri
wa Nishati na
Madini Profesa Sospeter
Muhongo leo desemba
24 ameongea na
wachimbaji wadogo wadogo
wa madini wa Mkoa
wa Mara kwenye Ukumbi
wa uwekezaji uliopo
Manispaa ya Musoma
mkoani Mara.
Pia
Mkutano huo ulihudhuriwa
na viongozi wa serikali
wakiwemo na wakurugenzi
watendaji wa wilaya
zinazopatikana mkoani Mara.


No comments:
Post a Comment