Wednesday, December 23, 2015

KAMATI YA ARDHI YAKAMATA NG'OMBE 900 WAKIWA WAMETELEKEZWA WAHUSIKA WAKIMBIA MALI



 
Kamati  ya  Ardhi  Halmashauri   ya  mji  wa   Handeni  imekamata  Ng;ombe  900 katika  mtaa  wa  Msaje  Mbamba  kata Kwamagome ambazo  zimeingizwa  bila  kufuata  utaratibu  huku  wahuku  wahusika  wakikimbia.








 Mwenyekiti wa  kamati  hiyo ya  ardhi  Husseni  Omari  Hatibu  amesema  wameamua  kufanya  ufuatiliaji wa  mifugo   iliyopo   katika  wilaya  Handeni   ili  kujipanga  kwa  ajili  ya  kuweka  utaratibu  mzuri   wa  matumizi  bora  ya  ardhi   na  ndipo  walibaini  kuwepo   makundi  hayo  ya  Ng’ombe  yakiwa  yametelekezwa.







No comments:

Post a Comment